KARIBU


TANGAZO

NAFASI HII IKO WAZI KWA MATANGAZO YA MAKAMPUNI NA WATU BINAFSI WASILIANA NAMI KWA +255 737192988.

Wednesday, April 6, 2011

BONGO MOVIE WAKIPIGA NA MUHIMBILI VETERANI


Club ya Bongo Movie baada ya kujipanga vyema na kuja na safu mpya ya uongozi chini ya mwenyekiti Hartman na kocha Chiki Mchoma,walijitupa uwanjani kujipima nguvu na muhimbili veterani na matokeo kuwa 3-2.Timu ya muhimbili walifanikiwa kuwalaza Bongo Movie kwa goli 3-2.Mchezo huo ulifanyika katika viwanja vya muhimbili

No comments:

Post a Comment