BONGO CITY
KARIBU
TANGAZO
Saturday, January 23, 2016
Rose Ndauka Kusaidia vipaji vipya vya Filamu
Mwaka 2016 umeanza vizuri baada ya msanii Rose Ndauka kuamua
Kuanza saidia wasanii wachanga Wa Movie wanao chipukia kupitia
Rose Ndauka Entertainment.
Source: www.djchokamusic.com
Thursday, October 20, 2011
Gaddafi akiwa anapigania uhai Wake
Muammar Gaddafi amekufa katika mateso ya majeraha

Kiongozi wa Zamani wa Libya, Muammar Gaddafi amekufa katika mateso ya majeraha baada ya kukamatwa karibu na Mji wake wa Sirte Juu imethibishwa na Afisa Mwandamizi wa Kijeshi wa Baraza la Taifa Mpito NTC leo.
Afisa huyo wa Baraza la Taifa Mpito, Abdel Majid Mlegta aliiambia Reuters awali kwamba Gaddafi alikamatwa na kujeruhiwa katika miguu yote kabla ya alfajiri leo wakati akijaribu kukimbia baada ya msafara wake kushambuliwa na ndege za kivita za NATO.
'Pia alipigwa risasi kichwani ,`alisema kiongozi huyo.
Saturday, April 9, 2011
Haleluya Collection Volume 5 kufyatuliwa Tamasha la Pasaka

KILELE cha tamasha la kimataifa la Pasaka litakalofanyika Aprili 24 kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam, kitakwenda pamoja na uzinduzi wa albamu mpya ya muziki wa Injili ya Haleluya Collections Vol 5. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, itaizindua albamu
Jide, Kidumu Kimasomaso na Tuzo Zao
Chals Baba Awatamani Mapacha Watatu

Mwimbaji wa kutumainiwa wa bendi ya African stars maarufu kama wana wa ku-Twanaga na kupepeta, charles Gabriel Cyprian aka CHALS BABA amesema hivi sasa anapata wakati mgumu kuimba bila maswaiba zake kalala junior na Khalid chokora.Hata hivyo amesema kuwa kuondoka kwao Twanga kumemfanya ajitume zaidi “
Friday, April 8, 2011
JITA RECORDS KUMTOA PRODUCER NA MUIMBAJI MDOGO "JAPH BEEZ"
Baada ya kufanya kazi nyingi za wasanii ambao leo wana majina mazuri walio pitia chuo au Studio ambayo iliwakuza kiasi kikubwa wasanii wa hiphop kwa mara ya kwanza Jita records iliyopo sinza ime kamilisha Album ya msanii ambaye huwezi fananisha na vijana wengine kwani msanii huyu ni Producer mkali ambaye anachukua masomo yake huko Bagamoyo haitoshi pia ni mwimbaji mzuri ambaye ataweza kulishika soko kupitia vipaji vyake tunaomba wapenzi wa mziki wa kizazi kipya waandae kupokea kazi bora ila kwa sasa tuna malizia video 2 kali sana .
Subscribe to:
Posts (Atom)

